Page 1 of 1

Chanzo cha Africa kuwa nyuma kimaendeleo

Posted: Mon Aug 17, 2020 5:00 pm
by Mustafa
Huyu bana ameelezea vizuri sana jinsi hawa wazungu walivyo tuletea elimu ambao imetusababishia mpaka leo hii tupo nyuma yao. Msikilize kwa makini
VID-20200816-WA0001.mp4
(3.27 MiB) Downloaded 258 times

Re: Chanzo cha Africa kuwa nyuma kimaendeleo

Posted: Mon Aug 17, 2020 11:37 pm
by Princessmai
Lakin kwa kias fulan imetusaidiaa

Re: Chanzo cha Africa kuwa nyuma kimaendeleo

Posted: Thu Aug 27, 2020 3:43 pm
by Mustafa
Imetusaidia vp apo maana mm naona wametengeneza chanel ya kutufanya sikuzote tuwe chini yao. Hapo msaada ni nini embu nambie