Hili tatizo la kukosa hedhi limekuwa tishio kwa mabint
Posted: Mon Aug 17, 2020 11:29 am
Hiv kwa nin mabint wengi siku iz hawapati mizinguko yao kama kawaida kila mwezi wengi wao siku zao huwa zinapitilizaa wadau embu t tuwasaidie, tuwashauli ili wasijepata madhala baadae